John 1:19-20

Ushuhuda Wa Yohana Mbatizaji

(Mathayo 3:1-12; Marko 1:1-8; Luka 3:1-18)

19 aHuu ndio ushuhuda wa Yohana wakati Wayahudi walipowatuma makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu kumuuliza, “Wewe ni nani?” 20 bYohana alikiri waziwazi pasipo kuficha akasema, “Mimi si Kristo.”
Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta.


Copyright information for SwhNEN